by Evelyne_Buc
Kuwa na kila kitu kizuri kwenye maisha haimaanishi kuwa una furaha. Ed ni kijana mwenye mafanikio makubwa akiwa na umri mdogo. Wengi waliyatamani maisha yake, na kwa sababu hiyo alikuwa ni role model kwa vijana wengi wenye ndoto ya kufanikiwa. Akiwa kijana mdogo alijiwekea malengo ya kutoyaleta mapenzi kabla ya wakati wake. Alitumia muda mwingi kuweka imara msingi wa biashara zilizomilikiwa na Simunge Group of Companies. Aliogopa kuyapa nafasi mapenzi wakati alikuwa na mengi ya kufanya. Hakutak…
by Salvatory
Hapo mwanzo Mungu aliumba ulimwengu, akaumba mimea, wanyama, mito, mabonde akavibariki. Akamuumba mwanadamu kwa mfano na sura yake, aliwaumba mwanamke na mwanaume. Mungu akawabariki na kuwaambia "Zaeni muongezeke, mkaijaze nchi na kuimiliki" Mwanzo 1: 1 - 28.Katika amri ya kuujaza ulimwengu, Akamuumba malaika, Malaika wa Upendo. Yeye akaweka hisia ndani ya wanadamu, jukumu amepewa na mwenyezi Mungu. Malaika wa Upendo akawa ndiye kiongozi na msimamizi mkuu aliyepewa jukumu la kuhakikisha kila mmo…
by rai_4
God sent a prophecy to end the world.The birth of a hero and the cause of world's destruction, 'Hasha'.Through an endless loop of death and rebirth, fate that has chained the two of them, Hasha rebelled."I won't bow down to my fate, even if that means abandoning this world. Will you fight against God with me, oh Hero?"